Vichwa vya Habari
Makala Maalum
Ukuaji wa Kiuchumi
Kila siku, tunatuma barua pepe nyingi, kuzungumza kupitia simu za video, kutafuta vitu kwenye wavuti wa Google, kutumia huduma za usambazaji wa maudhui kama vile YouTube au Netflix kwa ajili ya burudani, na kufanya miamala ya benki. Kupashana habari na kubadilishana taarifa kwa kufumba na kufumbua. Hii imekuwa ni sehemu ya kawaida ya maisha yetu, swali ni je, unafahamu nini kinachofanya yote yawezekane?
Habari kwa Picha
Amekimbia kutoka Cape Town hadi London kupinga ubaguzi wa wahamiaji
Baada ya kukimbia maili 8,262 akipita katika nchi 21 kwa zaidi ya mwaka mmoja na nusu, mkimbiaji na mwanaharakati raia wa Uganda na Uingereza Deo Kato amekuwa mtu wa kwanza kukimbia kutoka Cape Town nchini Afrika Kusini hadi London nchini Uingereza, lengo likiwa ni kupinga ubaguzi wa rangi na kutokomeza Imani potofu kuhusu uhamaji. Safari yake hiyo ameitumia kama njia ya kufungua mazungumzo kuhusu uhamaji, utambulisho na asili ya pamoja ya binadamu.
Habari Nyinginezo
Amani na Usalama
Mikakati mitatu ya WHO ya kutokomeza saratani
Wananchi Sudan Kusini wako njiapanda kuamua wasonge mbele na amani au waendelee na machafuko.
UNCDF yaleta matumaini kwa wakulima Dodoma, Tanzania kupitia mradi wa umwagiliaji
Amani na Usalama
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema anafuatilia kwa karibu kinachoendelea huko eneo la Tigray nchini Ethiopia, ambako mvutano unaoibuka upya na taarifa za mapigano vimechangia kuzorota kwa hali ya usalama.